Fahamu baadhi ya maneno na kazi zake au maana zake.
1. uploading : ni kusafirishwa data kutoka kwenye komputa ya mtumiaji kwenda kwenye internet.
Japo tafsiri nyingine yaweza kufaa kwamba kusafirishwa data kutoka computer ya mtumiaji kwenda Kwenye computer cloud computers.
NB: neno "uploading" Na neno "send" ni tofauti usichanganye
KAZI: katafute maana ya neno "send".
2: downloading: ni kinyume cha uploading.
SWALI: katika wireless network. Na katika wired network. Katafute wapi penye spidi wakati wa uploading lakini ipo slow katika downloading. na kinyume chake
3. errors. : katika computer. Errors zinatokana na data kuwa zimehifadhiwa vibaya kwenye RAM
4. Macromedia flash player : kifaa (software)kinachofanya web browser kuwa na uwezo wa kuonyesha picha zinazotembea..video..na movements....na kwamba bila hicho huwezi Fanya streaming online.
5. WAN. Wide area network. Ni aina ya network iliyokusanya networks Ndani yake kama LANs. au MANs .....mda mwingine inaitwa network of networks
WAN zipo part mbili
I/ public wan. hii ni mfano internet. Hii yoyote aweza kwenda
ii/ private WAN. hii ni mfano intranet na extra net. Hii huwezi kuingia wewe sababu inamilikiwa na organization. Wanakuwa na private network. Kama CRDB branch zote.....
ONYO: internet sio aina ya network. Bali ni mfano tu katika public network. PUBLIC WAN...
ONYO: hakuna mahala ambapo panaitwa internet duniani. Bali kwa namna ulivounganisha kifaa chako ndio kitasema upo network gani
ONYO. hakuna mtu mwenye kumiliki internet. Bali ni makampuni ya mawasiliano .....kwa hivo lugha hii haifai "simu yangu ina internet". Bali lugha hii inafaa "simu yangu ina access ya internet"
6. LAN. Local area network. hii ni aina ya network ambayo imeenea eneo dogo khususan Ndani ya jengo. Katika eneo Fulani la kijografia. Katika utawala wa vifaa vimoja
7.PAN. personal area network. Hii ni network ambayo ni katika uwanda wa mtu binafsi kwa kuunga mfano wireless mouse na pc. Au simu kwa simu. Na hii hutumia tecnolojia ya Bluetooth. Hii ndio ilikua infrared
8. intranet. Hii wengi husema ni aina ya network. Lakini wala si aina ya network. Kwa sababu hii ipo Ndani ya aina ya network teyari inaitwa WAN katika kile kipengele cha private wan. Kwa hivi kama unaitafsiri hii usiseme ni aina ya network. Bali hii ni terminology inayotumika katika private network. Ambapo watumiaji wa network wanashea data wao tu na hakuna mwingine kutoka nje. Akaingia network hiyo.....
Maana ya hiyo ni sawa na extra net. Japo hii inaruhusu member wa nje kuingia kwenye network husika.
kwa hivo intranet na extra net. Ni terminology tu. Zinazotumika kwenye private WAN
____________________________________________
Kama una swali +255743002239
1. uploading : ni kusafirishwa data kutoka kwenye komputa ya mtumiaji kwenda kwenye internet.
Japo tafsiri nyingine yaweza kufaa kwamba kusafirishwa data kutoka computer ya mtumiaji kwenda Kwenye computer cloud computers.
NB: neno "uploading" Na neno "send" ni tofauti usichanganye
KAZI: katafute maana ya neno "send".
2: downloading: ni kinyume cha uploading.
SWALI: katika wireless network. Na katika wired network. Katafute wapi penye spidi wakati wa uploading lakini ipo slow katika downloading. na kinyume chake
3. errors. : katika computer. Errors zinatokana na data kuwa zimehifadhiwa vibaya kwenye RAM
4. Macromedia flash player : kifaa (software)kinachofanya web browser kuwa na uwezo wa kuonyesha picha zinazotembea..video..na movements....na kwamba bila hicho huwezi Fanya streaming online.
5. WAN. Wide area network. Ni aina ya network iliyokusanya networks Ndani yake kama LANs. au MANs .....mda mwingine inaitwa network of networks
WAN zipo part mbili
I/ public wan. hii ni mfano internet. Hii yoyote aweza kwenda
ii/ private WAN. hii ni mfano intranet na extra net. Hii huwezi kuingia wewe sababu inamilikiwa na organization. Wanakuwa na private network. Kama CRDB branch zote.....
ONYO: internet sio aina ya network. Bali ni mfano tu katika public network. PUBLIC WAN...
ONYO: hakuna mahala ambapo panaitwa internet duniani. Bali kwa namna ulivounganisha kifaa chako ndio kitasema upo network gani
ONYO. hakuna mtu mwenye kumiliki internet. Bali ni makampuni ya mawasiliano .....kwa hivo lugha hii haifai "simu yangu ina internet". Bali lugha hii inafaa "simu yangu ina access ya internet"
6. LAN. Local area network. hii ni aina ya network ambayo imeenea eneo dogo khususan Ndani ya jengo. Katika eneo Fulani la kijografia. Katika utawala wa vifaa vimoja
7.PAN. personal area network. Hii ni network ambayo ni katika uwanda wa mtu binafsi kwa kuunga mfano wireless mouse na pc. Au simu kwa simu. Na hii hutumia tecnolojia ya Bluetooth. Hii ndio ilikua infrared
8. intranet. Hii wengi husema ni aina ya network. Lakini wala si aina ya network. Kwa sababu hii ipo Ndani ya aina ya network teyari inaitwa WAN katika kile kipengele cha private wan. Kwa hivi kama unaitafsiri hii usiseme ni aina ya network. Bali hii ni terminology inayotumika katika private network. Ambapo watumiaji wa network wanashea data wao tu na hakuna mwingine kutoka nje. Akaingia network hiyo.....
Maana ya hiyo ni sawa na extra net. Japo hii inaruhusu member wa nje kuingia kwenye network husika.
kwa hivo intranet na extra net. Ni terminology tu. Zinazotumika kwenye private WAN
____________________________________________
Kama una swali +255743002239
Comments
Post a Comment